• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Wakulima wa Ufuta Nsimbo kunufaika na Tani 2.2 za Mbegu bora ya ufuta.

Imewekwa: October 23rd, 2020

Nsimbo- Kapalala

Mbegu ya ufuta Tani 2.24 inatarajiwa kusambazwa kwa wakulima wa zao la ufuta katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo ikiwa ni jitihada za Halmashauri ikishirikiana na Serikali Mkoani Katavi  kuboresha Kilimo cha zao hilo la kimkakati.

Mkuu wa Idara ya Kilimo na Ushirika Bw. Paul Sheyo amesema tayari mbegu hiyo ya ufuta tayari  imepokelewa kutoka kwa wakala wa mbegu Nchini ASA  na inatarajiwa kugawanywa katika vyama Vinne vya Ushirika vya Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo ili wakulima katika vyama hivyo vya Ushirika  waweze kugawiwa kwa ajili ya kuendelea na maandalizi ya kilimo cha zao hilo.

Bw.Sheyo amesema mbegu hiyo bora ya Ufuta itakayotolewa  itatosheleza Ekari 1122 za wakulima  wa zao hilo la kimkakati katika Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo  ambapo wakulima wengine wanaolima zao la Ufuta ambao hawatabahatika kufikiwa na mgao wa mbegu bora ya ufuta wameshauriwa kununua mbegu bora ya ufuta kwa wasambazaji wa pembejeo za kilimo.

Amewaasa wakulima wa mazao ya Biashara Nsimbo kuhakikisha kuwa wanashirikiana kwa karibu na wataalamu wa Kilimo katika ngazi ya Vijiji na Kata ili waweze kupata elimu itakayowawezesha kutumia mbinu bora na za kisasa akatika kilimo cha mazao hayo ya Kibiashara ili kuongeza tija katika Uzalalishaji

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUANZA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 KUTOKA NSIMBO-DC December 19, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPENDEKEZWA KUJIUNGA MAFUNZO YA UFUNDI STADI CHUO CHA VETA MPANDA NA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MSANGINYA MWAKA 2021 December 20, 2020
  • KATAZO LA MIFUKO YA PLASTIKI May 20, 2019
  • ACHANA NA MIFUKO YA PLASTIKI May 20, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • Wananchi Nsimbo punde kuhudumiwa katika Hospitali ya Wilaya.

    January 06, 2021
  • RC Katavi aipongeza Nsimbo kwa Usimamizi mzuri wa Miradi

    January 05, 2021
  • Madiwani Nsimbo wahimizwa kuhamasisha Wananchi kujiunga na CHF iliyoboreshwa.

    December 23, 2020
  • Naibu Waziri TAMISEMI aipongeza Nsimbo kwa harakati za Ujenzi wa Sekondari.

    December 15, 2020
  • Angalia zote

Video

Mwenyekiti Nsimbo akemea Uchangiaji holela wa vyombo vya kunywea pombe vilabuni
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : +2552955164

    Simu: +255713992124

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa