• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Uboreshaji Mazingira Nsimbo; Wananchi watakiwa kutumia msimu wa Mvua kupanda Miti kwa wingi.

Imewekwa: October 15th, 2020

Wananchi   wa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo wametakiwa kutumia vema msimu wa Mvua zilizoanza kunyesha hivi karibuni  kupanda  miti ya kutosha ili kufikia malengo mahsusi ya Halmashauri ya kupanda miti kwa wingi zaidi ili kuifanya Nsimbo kuwa ya Kijani.

Mkuu wa Idara ya Mazingira na udhibiti wa taka ngumu Nsimbo Bw.Mugeta Masambu ameeleza kuwa hatua ya Wananchi kupanda miche ya  miti kwa wingi  kipindi cha mvua itasaidia kwa kiasi kikubwa miche hiyo kustawi kwa haraka kutokana na uwepo wa   maji ya kutosha kipindi hiki cha Msika.

Ameongeza kuwa Idara ya Mazingira na udhibiti wa taka ngumu Nsimbo imekuwa ikihamasisha Wananchi kupanda miti kwa wingi ili kuhakikisha kuwa matakwa ya Kisera ya Serikali yanatekelezwa kikamilifu ili malengo mahsusi ya Serikali ya kutunza mazingira yanatimia.

Mbali na upandaji wa Miti Wananchi Nsimbo pia wametakiwa kuhakikisha kuwa wanafyeka nyasi na vichaka mara kwa mara katika msimu huu wa mvua kwa kuwa nyasi kipindi cha mvua huzaliana kwa wingi na kuwa chanzo cha mazalia ya mbu wasababishao malaria.

Hivyo ili kupunguza kuenea kwa malaria Wananchi wameshauriwa kufyeka nyasi na kufukia madimbwi ambayo yanaweza kutuamisha maji katika kipindi hiki cha mvua ili kudhibiti mazalia ya mbu jambo litakalosaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza kuenea kwa ugonjwa wa malaria Nsimbo

Wananchi pia wametakiwa kuhakikisha kuwa mazingira yanakuwa safi kwa kuhakikisha kuwa wanajenga mazoea ya kutotupa takataka hovyo pamoja na kuepuka kutiririsha maji taka kipindi hiki cha masika ili kudhiti kuenea kwa magonjwa ya milipuko ikiwemo kuhara na kipindupindu.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUANZA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 KUTOKA NSIMBO-DC December 19, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPENDEKEZWA KUJIUNGA MAFUNZO YA UFUNDI STADI CHUO CHA VETA MPANDA NA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MSANGINYA MWAKA 2021 December 20, 2020
  • KATAZO LA MIFUKO YA PLASTIKI May 20, 2019
  • ACHANA NA MIFUKO YA PLASTIKI May 20, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • Wananchi Nsimbo punde kuhudumiwa katika Hospitali ya Wilaya.

    January 06, 2021
  • RC Katavi aipongeza Nsimbo kwa Usimamizi mzuri wa Miradi

    January 05, 2021
  • Madiwani Nsimbo wahimizwa kuhamasisha Wananchi kujiunga na CHF iliyoboreshwa.

    December 23, 2020
  • Naibu Waziri TAMISEMI aipongeza Nsimbo kwa harakati za Ujenzi wa Sekondari.

    December 15, 2020
  • Angalia zote

Video

Mwenyekiti Nsimbo akemea Uchangiaji holela wa vyombo vya kunywea pombe vilabuni
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : +2552955164

    Simu: +255713992124

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa