• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yaulizwayo |
    • Barua pepe |
Nsimbo District Council
Nsimbo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Habari ,Mawasiliano,TEHAMA na uhusiano
      • ununuzi na ugavi
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango,Takwimu na ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji na Udhibiti wa maji taka
      • Kilimo,umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za uwekezaji
  • Huduma zetu
    • Elimu Msingi
  • Madiwani
  • Miradi
  • Machapisho
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shuguli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Jarida Mtandao la wiki la Halmashauri

Matokeo Uchaguzi Mkuu Nafasi ya Ubunge Jimbo la Nsimbo;Anna Lupembe wa CCM aibuka kidedea.

Imewekwa: October 29th, 2020

Pichani:Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Nsimbo Bw.Mohamed Ramadhani akimkabhi cheti cha Ushindi wa Nafasi ya Ubunge Mgombea Ubunge jimbo la Nsimbo Mh.Anna Richard Lupembe mara baada ya kutangazwa mshsindi katika  matokeo ya Uchaguzi Mkuu ngazi ya Ubunge leo 29,Oktoba 2020.


Nsimbo-Isinde

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nsimbo Bw.Mohamed Ramadhani amemtangaza Mgombea Ubunge jimbo la Nsimbo kupitia tiketi ya CCM Ndugu Anna Richard Lupembe kuwa Mh.Mbunge wa Jimbo la Nsimbo.

Hatua ya kumtangaza Mshindi wa kinyang’anyiro cha nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nsimbo inakamilika majira ya saa mbili  asubuhi ya Tarehe 29 Oktoba 2020 baada ya matokeo kutoka katika kata zote 12 za Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo  kuwasilishwa katika Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nsimbo na kukamilika kwa taratibu zote za Tume ya taifa ya Uchaguzi.

Akitangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu kwa Nafasi ya Ubunge Jimbo la Nsimbo Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo  Bw.Mohamed Ramdhani amesema Ndugu Anna Richard Lupembe,Mgombea Ubunge Jimbo la Nsimbo kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM  amekuwa Mshindi wa Kiti cha Ubunge Jimboni Nsimbo  baada ya kufanikiwa kujipatia kura 38,346 dhidi ya Wapinzani wake.

 Msimamizi wa Uchaguzi  Nsimbo amevitaja vyama Vingine  vya Siasa  viliyoshiriki katika Kinyang’anyiro cha Nafasi ya Ubunge kuwa ni pamoja na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA,Chama cha ACT Wazalendo,CHAUMA na Chama cha Mapinduzi CCM .

Amewataja wagombea wa Vyama vingine vya siasa vilivyoshiriki katika uchaguzi kuwa ni pamoja na Omar Faraji ambae amepata kura 904,John Malak kutoka chama cha ACT Wazalendo ambae amepata kura 1292,Gdfrey John Nkasu wa Chama cha Chauma ambae amepata kura 1159.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUANZA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 KUTOKA NSIMBO-DC December 19, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOPENDEKEZWA KUJIUNGA MAFUNZO YA UFUNDI STADI CHUO CHA VETA MPANDA NA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MSANGINYA MWAKA 2021 December 20, 2020
  • KATAZO LA MIFUKO YA PLASTIKI May 20, 2019
  • ACHANA NA MIFUKO YA PLASTIKI May 20, 2019
  • Angalia zote

Habari mpya

  • Wananchi Nsimbo punde kuhudumiwa katika Hospitali ya Wilaya.

    January 06, 2021
  • RC Katavi aipongeza Nsimbo kwa Usimamizi mzuri wa Miradi

    January 05, 2021
  • Madiwani Nsimbo wahimizwa kuhamasisha Wananchi kujiunga na CHF iliyoboreshwa.

    December 23, 2020
  • Naibu Waziri TAMISEMI aipongeza Nsimbo kwa harakati za Ujenzi wa Sekondari.

    December 15, 2020
  • Angalia zote

Video

Mwenyekiti Nsimbo akemea Uchangiaji holela wa vyombo vya kunywea pombe vilabuni
Video zaidi

Quick Links

  • Kupata matokeo ya kidato cha nne ingia hapa
  • Orodha ya waheshimiwa madiwani
  • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Video mbalimbali
  • Muundo wa Halmashauri
  • Picha mbalimbali
  • Fomu mbalimbali

Kurasa zinazohusana

  • President's Office
  • Tanzania Government Portal
  • Public service Management
  • Public Service Recruitment
  • PO- RALG

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    Mpanda to Tabora road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 688 Mpanda

    Simu : +2552955164

    Simu: +255713992124

    Barua pepe: ded@nsimbodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Malalamiko
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki@2016GWF.Haki zote zimehifadhiwa